Sunday, July 18, 2010
Thursday, June 4, 2009
Je nchi yetu itaendelea kwa kutegemea misaada ya wageni na mataifa makubwa ya ulaya na marekani?
Waswahili husema mtegemea cha ndugu hufa masikini. Kauli hii inafanana na hali inayoendelea sasa katika nchi nyingi barani afrika ambapo serikali kutwa kiguu na njia na kopo la kuomba msaada hasa katika mataifa yaliyoendelea na mabenki makubwa ya dunia. Je hii ni njia bora ya kutatua ama kukuza uchumi wa nchi hizi?
Saturday, April 18, 2009
Green Acres on wazotete!!
Cambridge students were there too!!
Subscribe to:
Posts (Atom)