Sunday, July 18, 2010

Haya ndio madhira ya vita!!!

Pamoja na wewe kujiona mwenye uhuru na nafasi kubwa ya kuleta mabadiliko, wenzio pande za juu wanahaha wakitafuta sehemu salama ya kuendesha maisha yao. Mitutu ya bunduki, ubakaji, njaa na kila aina ya masumbufu ndio maisha yao ya kila siku.

Thursday, June 4, 2009

Je nchi yetu itaendelea kwa kutegemea misaada ya wageni na mataifa makubwa ya ulaya na marekani?

Waswahili husema mtegemea cha ndugu hufa masikini. Kauli hii inafanana na hali inayoendelea sasa katika nchi nyingi barani afrika ambapo serikali kutwa kiguu na njia na kopo la kuomba msaada hasa katika mataifa yaliyoendelea na mabenki makubwa ya dunia. Je hii ni njia bora ya kutatua ama kukuza uchumi wa nchi hizi?

Saturday, April 18, 2009

Green Acres on wazotete!!

Students from Green Acres Secondary School together with their teacher in group photo after successfully record of wazotete program at British Council Tanzania. The program is due to return with more excited performance.Stay tune!!

Cambridge students were there too!!

Cambridge Secondary School was also among the school that took active role on wazotete program. Keep following us for more new update.