Tuesday, February 3, 2009

Karibu katika blogu yetu

Wazo Tete ni kipindi cha vijana walio katika shule za sekondari nchini kikiwa na lengo la kuwapa fursa vijana hao kutoa maoni yao kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu maendeleo ya nchi yao kwa kuchangia mada, kubungua bongo na kuwakilisha sifa za wadau mbalimbali wa maendeleo hayo.
Kipindi hiki ni mfululizo wa mashindano baina ya shule na shule katika vpengele vikuu vitatu ambavyo ni Mjadala wa Mada, Uvaaji wa uhusika na maswali. Jumla ya wanafunzi sita kutoka kila shule watashindana katika maeneo hayo husika.

18 comments:

Anonymous said...

Naitwa Bidebuye Gumbo ,kipindi hiki ni muhimu kwa watanzania wote hivyo fanyeni hima kushirikisha vijana wa mikoani si DSM tu.

Anonymous said...

Naitwa LUGANO NGONYA wa DOM.TBC Big up kwani mnaimarisha taifa la kesho kwa kipindi hiki.

Anonymous said...

Mimi Kauthary Hassan. Naipongeza TBC1 kwa vipindi vyenye kuelimisha kwani kipindi hiki kina2pa elimu nakuelewa mambo yahusuy

Anonymous said...

Hi me Charles natokea dodoma tbc bigup kwakukilusha kipindi hikihewani nampa hi fashirida akiwa dodoma.

Anonymous said...

Naitwa chipenye wa mpanda hongeleni kwa kutoa elimu nb karibisheni na wanfunzi wa mikoani

Anonymous said...

Mimi lovenes tumaini wa a. Town njiro blk D nawapongeza sana mnaelimisha sana

Anonymous said...

NAITWA ISACK AU BABA DEBORA KIPINDI KIZURI LAKINI SAUTI HAISIKIKI INAKWARUZA INAKUA HAIJATULIA

Anonymous said...

Naitwa Mikaeli wa sinza nawafagilia TBC kwa kipindi hiki bora.

Anonymous said...

NAITWAJUDY KUTOKASONGEA NAKIPENDASANAKIPINDIHIKI KWANIKINAELIMISHA JAMIPIA ASANTENISANA.

Anonymous said...

NAITWA MNASI KIPIDI KIZURI KINA WAPA WANAFUZI KUEREWA MAMBO YA ICHI YAO

Anonymous said...

Mi ni Rich,kipindi ni kizuri na kinasaidia .

Anonymous said...

Hi.ma iz Dai Ashery wa Dom,nawapongeza sana kwa kipindi chenu cha Wazo tete,kinaelimisha

Anonymous said...

Hi.ma iz Dai Ashery wa Dom,nawapongeza sana kwa kipindi chenu cha Wazo tete,kinaelimisha

Anonymous said...

Naitwa helen agoro nipo keko. Napenda kuwapongeza waandaaji wa kipindi cha wazo tete kwani kinaleta changamoto kwa vijana na jamii nzima.

Anonymous said...

Naitwa Ally Ramadhani wa Mkolani Sec Mwanza.Hiki kipindi ni bomba sana kinaelimisha jamii kwa ujumla.Ninaipongeza sana TBC 1

Anonymous said...

Mimi naitwa Job Mwita naipongeza tbc kwa mjadala huu . TBC. ukweli na uhakika.

Anonymous said...

Am Deodatha Komba from Sangu Sec Mbeya.I like so much to listen this programme in tbc1 students may we coperate together to join in this programme thanks

Anonymous said...

Kipindi kizurh keep it up,högereni-mama bula ktk Ilala