Sunday, February 8, 2009

Mpambano wa wiki hii: Shule ya Sekondari ya Kambangwa V/S Shule ya Sekondari ya Aaron Harris

Kumekuwepo na migomo mfululizo katika vyou vikuu hapa nchini, hasa vyuo vikuu vya umma. Maadili ya wanafunzi na hoja zao kuu ni kupinga sera ya uchangiaji, ambapo wanaitaka serikali igharimie asilimia kwa mia za malipo ya wanafunzi wote wanaoingia vyuo vikuu, badala ya kutaka familia zao zichangie kiasi fulani toka aslimia ishirini mpaka sitini kadri Bodi ya mikopo inavyotumia vigezo vyake kuona kila mwanafunzi anaweza akachangia kiasi fulani kulingna na uwezo wake.
Katika Mfululizo wa vipindi vyetu, wazo tete inakuletea mpambano kati ya shule ya sekondari ya Kambangwa kutoka kinondoni na Shule ya Sekondari Aaron Harris ya Pugu Kajiungeni. Shule hizi zipo katika kundi G, pamoja na Pugu High School na Cornerius High School

Mada ya Wiki hii: "Sera ya Uchangiaji wa Elimu ya Juu haiendani na hali halisi ya maisha ya mtanzania." Kwa upande wa Wahusika wa Balloon: Kambangwa itawakilisha "Mchumi" wakati wapinzani wao Aaron Harris watamuwakilisha "Mvuvi."

95 comments:

Anonymous said...

My name iz taiyah am at dodoma an i realy enjoy ur show kip it up thanx

Anonymous said...

kipindi hiki cha wazo tete kinafundisha sana lakini muda hautoshi

Anonymous said...

naitwa kass nipo mwanza naomba mutukumbuke na sisi

Anonymous said...

Naitwa Ben wa Mwanza na wapongeza kwa kipindi chenu kizuri kinacho elimisha. Big up centry valley sec school

Anonymous said...

Naitwa Babu wa mbeya naomba hicho kipindi kifike hadi mikoa mingine

Anonymous said...

Naitwa pendo wa tegeta nawapongeza sana kipindi hiki

Anonymous said...

Naitwa Hatibu lwimbo wa St. aggrey sec mbeya naomba wahusika wa wazo tete mfike mikoani

Anonymous said...

Nawasihi hao wadogo zangu waache uoga wa kuficha ficha mambo kwani wanasaidia umma kujua baadhi ya mambo wanayojadili its me kapufi bertha

Anonymous said...

naitwa xavier.. kipindi chenu kizuri kwani kinaelimisha sana ila mbona mikoa mingine mmeisahau

Anonymous said...

Oya madogo pindi lenu zuri lakini mnaboa sana acheni kubaguana ki hivyo jaribuni kushirikisha na mikoa mingine itakuwa poa mingine itakuwa poa Mimi Zilpa wa Dar es salaam

Anonymous said...

mimi rose wa bukoba na swali hamji mikoani?

Anonymous said...

serikali haingalii na pia inapendelea inasaidia wale watu wenye uwezondiyo wanao pewa mkopo, eti sio kupendelea huko? Ni mimi Vaileti natoka shule ya Inaboishu asanteni sana wanafunzi wenzangu

Anonymous said...

sms +255714143737, email: wazotete@tbcorp.org, weblog - wazotete.blogspot.com

Anonymous said...

Naitwa paskalia wadar namuungamkono kakaphlenki kwahojayake

Anonymous said...

Ziondolewe sokoni nyavu zisizostahili na wakagaguzi wa ubora wa viwango watekeleze majukumu yao kuliko kumsubiri mvuvi ziwani au baharini.

Anonymous said...

Sinabudi Kuwapa pongezi washiriki na waanzìlishi wa wazo tete!Tufanyaje il tushiriki maana naona Tosamaganga secondary ushindi tungestahili

Anonymous said...

Nawapongeza TBC kwa mada nzur na inatuhusu wanafunz na wazaz wa wanavyuo vku.naitwa SOMI wa moshi

Anonymous said...

Nawapongeza TBC kwa mada nzur na inatuhusu wanafunz na wazaz wa wanavyuo vku.naitwa SOMI wa moshi

Anonymous said...

NAWAPOGEZA TBC KUANDAA KPND HIKI KWANI KINAELIMISHA NA KINAWAJENGA VIJANA PIA KINAWAPA UWEZO WA KUJIAMINI WAWAPO JUKWAANI.MAMA JOVIN MUSOMA

Anonymous said...

Naitwa Riziki Ntalula wa shinyanga majaji big up

Anonymous said...

hengeleni waanzilish wa wazo tete kwani kinapelekea mwanafunzi kujiamini ktk shughuli zote za maisha yake kwa baadaye

Anonymous said...

Kipindi ni kizuri kinafundisha na wale wasio weza kujieleza wakaweza Anna deury parakuyo

Anonymous said...

Naitwa TINOHLUX MUKULASY wa Mpwapwa TTC ninafurahi sana kuona kipindi hiki kwani kinaelimisha jamii pia majaji wanafaa

Anonymous said...

NAITWA BASHIRU KAUCHUMBE WA RUANGWA NAPENDA HUYO MCHUMI JINSI ANVYOTOA MADA ZAKE ANA POINT SAFI SANA ANAJIAMINI

Anonymous said...

naitwa florah kanuth wa mwanza nawapongeza tbc kwa kuandaa kipindi hiki cha wazo tete kwasababu kinaleta changamoto kwa wanafunzi

Anonymous said...

Mwanauchumi huyo anajua kujieleza,anajthdi sana na amepangilia na mifano,doryne wa MSH

Anonymous said...

Kipindi nikizuri sana. rakini tunahitaji. matawi. nchinzima. Naitwa. Abdarah. Ktk. Tbr

Anonymous said...

Majaji kuweni makini.Msifanye upendeleo.Naitwa Ngalichiwa wa Mwanza.

Anonymous said...

Majaji hongereni kwa uamuzi wenu bora ..mimi mwi.. Mavura wa same.

Anonymous said...

Naitwa elly from dsm.i would lyk 2 support tha issue of equality of human rights

Anonymous said...

MIMI NAITWA HADIJA WA KIMANZICHANA WAPENI USHINDI WATOTO.

Anonymous said...

Naitwa thomas, Ujamaa na kujitegemea kwa dunia ya utandawazi ni ndoto za mchana!

Anonymous said...

nashukuru tbc jina gaddaf kutoka tanga ujamaa mzuri ktk nchii unalinda masilahi nchi

Anonymous said...

NAITWA TPENDO ELIAMANI MIMININACHOSEMAWANAFUNZI WANAJITAIDI NAWAENDELEKUSONGAMBELE TBC,WAWA

Anonymous said...

huyu kijana alievaa kibagarashia... ajajianda anaongea laki hajui aongeacho!!! naomba washrki wajiandae vya kutosha!! ni mimi kidawa wa lindi.

Anonymous said...

NAITWA DR KIGERI MAJAJI MUWEMAKINI

Anonymous said...

NAWAPONGEZA TBC1 NAELIMISHA,WAHUSISHENI SHULE ZA MSINGI,ASHA TEGETA

wazotete said...

Mie naitwa mama David nipo Mbeya kipindi hiki ni bomba sana.mnaonaje mkija na huku Mbeya.sera ujamaa kwa tanzania inatudumaza sana.TBC1 HONGERA

wazotete said...

Nàitwajanewa.àrushanilikuwanaombamtutembele

wazotete said...

Jamani mbona mnabagua baadhi ya Shule?nilikua nashauri kufanya uwiano ktk kuita shule

wazotete said...

MI NAITWA PROJESTUS NIPO BUKOBA MWANA UCHUMI YUKO JUU NIPO BUYEKERA.

wazotete said...

Naitwa Tafutael Makundi napenda kipindi kinaelimisha pia kinawapa moyo wanangu kusoma

wazotete said...

kipindi kizuri, lakni unapotoa mfano si vizuri kutamka jina la mtu. ALLY WA MAGU,

wazotete said...

NAITWA SIRAJI A. MATONDANE WA BUKOBA NAWASHUKURU TBC KWA KUANDAA KIPINDI HIKI KWANI HATA ALIYEKO NYUMBANI ANAELIMIKA.

wazotete said...

Naitwa Jacqueline toka Rock city nawapongeza sana waanzilishi,waandaaji na wahusika wote wakipindi cha wazo tete hongereni sana kwani mmepiga hatua!

wazotete said...

Naitwa Francis Matabala wa Mbeya,nimefurahishwa sana na uwepo wa kipindi cha Wazo tete maana hata ss tulio mikoani tunajifunza mengi kupitia wao.

wazotete said...

Naitwa Athman KAWAGA .naomba mshirikishe na mikoa mingine.

wazotete said...

Naitwa anna wa arusha naomba hao wanafunzi wachangie mada vizuri kwani wanatoka nje ya mada wanayoiongelea walimu wao wawafundishe nini maana ya debate.

wazotete said...

naitwa Flora wa zanaki sec kipindi ni kizuri mada ni nzuri ila basi serikali wazifanyie kazi.

wazotete said...

naitawa tabby wa dodoma,nawapongeza sana waandaaji wa kipindi cha wazo tete,kinaelimisha,zaidi sana kwetu vjana tunaoathirika kwa kiasi kikubwa na utandawazi.

wazotete said...

Tunawashukuru TBC1 kwa kipindi hiki hicho kizuri.Kinaelemisha.NSUMBA wa Dar.

wazotete said...

Naitw eliza Manyanga,from Tanga.nawapongeza tbc kwa kipindi hiki kwani kina elimisha jamii.

wazotete said...

Me naitwa rukia niko arusha nakubaliana na wazo tete lakini vipi kipindi kinakuwa dar 2 arusha hamfiki,arusha 2naweza na 2napenda mje

wazotete said...

Naitwa syon,naomba kungekuwa na mda wa ziada ambao ungeruhusu watazamaj kupga cm na kutoa mawazo yao...au vp!

wazotete said...

Kuna mpango wowote wa wazo tete kufika mikoani au ni hapo dsm?

wazotete said...

kipindi hiki kinasaidia kuona jinsi vijana walivyo na uwezo wa kuongoza nchi hii--mama Jesca Mtwara

wazotete said...

Ni mtoto wa mzee mkorofi,hiki ni kipindi kizuri lakini mngefanya tanzania visiwani kama vile Zanzibar .mwaaa...

wazotete said...

Naitwa Rahma,kwelikabisa kipindikinzuri,sotetupokwenyeluninga tunapataladhatofati.

wazotete said...

Naitwa ERASTUS,kila jambo ni taaluma hivyo tukubaliane kwamba mwanauchumi anamwitaji mvuvi na mvuvi anamwitaji mwanauchumi katika kukuza uchumi wa taifa letu.

wazotete said...

Naitwa hassani jafali. nimependasana kipindi hicho cha wazo tete

wazotete said...

Naitwa joel wa mwanza, sera ya ujamaa kwa sasa haifai, watanzania hawatafanya kazi kwa bidii, tutategemeana sana, uvivu utakithiri.

wazotete said...

Naitwa mtesigwa wazo langu ktk wazo tete nkutaka nyinyi wausika mweze kutembelea mikoa yote ili mpate watu wenye vipaji.

wazotete said...

swali kwa mchumi je anguko la uchumi kidunia la sasa limaitwaje?

wazotete said...

Hi mi LULU SANGA wa kbh mada zenu ni zaukweli baadhi kamahuy

wazotete said...

Mada zenu ni nzuri ninawashauri mfike na mikoani ili mashule ya mikoani yaweze kufaidi na kutoa mada zao mama Anna Mwanza

wazotete said...

Naitwa mahmudy amlan wa mbeya nashauri kuwa kuwe na ushirikiano kwa wanafunzi wa majumbani mbeya.

wazotete said...

Naitwa tomm baye nipo mwanza kipindi hicho kiwashirikishe hata shule nazamikoan.

wazotete said...

Naitwa Lizy,natoa pongezi kubwa kwa waandaaji wa kipindi hicho ila naomba wanafunzi wasivae kofia

wazotete said...

Habari TBC kipindi ni kizuri ila washiriki hawana msisimko jaribuni kuchukua shule nyingine kama INTERNATIONAL SCHOOLS. Mimi Sarah Mwanyika wa Kimara .

wazotete said...

Mmejitahidi sana kuleta mabadiliko.
Ingawa bado hamjafikia hadhi ya juu, ila hongereni sana.

wazotete said...

mi naitwa jamila wa dom maombi yangu tembeeni hadi mikoa mingine .

wazotete said...

Kwakweli kwa sasa 2ngeangalia ni kipi kinaweza kuinua uchumi wetu na kuusaidia usiporomoke,hayo maswala ya ujamaa yawe 2 yana2pa mwelekeo!MABWI 4rm Tass

wazotete said...

NAITWA ATHANAS MUNISHI WA DAR. NAWASHUKURU TBC 1 KWA KUANDA KIPINDI HIKI ,KINATUELIMISHA.

wazotete said...

Mwanauchumi amejitahidi sana kuliko mvuvi.
Micky

wazotete said...

Da! Amechemka kwel uyo miwan.Mana anasema watizamaj atujui uchumi! Yeye ni mdogo sanaaelew anachosema

wazotete said...

HI TBC KIPINDI NI KIZURI SANA MAJAJI MNAFANYA VIZURI SANA NA WANAFUNZI WAKO FEET KARIBUNI MBEYA SHULE NYINGI SANA NAITWA MIRIAM NIPO MBEYA.

wazotete said...

Mimi Eunice wa Arusha kwa mrefu nilikuwa nashauri kwamba waongezwe washiri wa mikoa mbalimbali! Ili pia wanafunzi wa mikoani tushiriki

wazotete said...

Naitwa NASWIRU ISSA SHAABAN.MNAHEKIMISHA MNAELIMISHA NA KUADILISHA.HATAHUKUJIJINI MWANZA MTUKUMBUKE.HEWALAA .

wazotete said...

Kwa jina ninaitwa shukuru Simba kipindi hiki nikizuri sana na kinafundisha.

wazotete said...

Wazo tete mbona hamfiki Sumbawanga? Schola.

wazotete said...

Hi naitwa Glory np Moshi napenda sana hiki kipindi kwani kinapanua mawazo ya wanafunzi

wazotete said...

Naitwa faith kessy,kipindi cha wazo tete ni kizuri na wachangiaji wanajiandaa vilivyo

wazotete said...

Naitwa kelvin mbuya nashauri wazo tete ijaribu kutembelea mkoa wa kilimanjaro

wazotete said...

Naitwa doro naomba kipindi cha wazo tete kitufikie huku kibaha

wazotete said...

KIPINDI KIZURI LAKINI TUNAOMBA MTEMBELEE NA MIKOANI PIA KUNA SHULE ZA SEKONDARI! MWL MOSES CHALANGE WA MOROGORO

wazotete said...

Naitwa cecy kibada kutoka arusha! Nakipenda sana kipindi cha wazo tete! Siyo siri kipo juu!

wazotete said...

naitwa seif kutoka tanga nauliza hivi ni lini kipindi cha wazo tete kitakuja mikoani?

wazotete said...

Wazo tete linaelimisha.lakin mimi naomba mfike na huku mwanza mbona ni dar tu.jesca wa mwanza.

wazotete said...

Naitwa Violeth wa mpwapwa..!!! hongera..,tbc kwa kipindi chenu kizuri ila tunaomba mtembelee na shule za mikoani.,

wazotete said...

Kipindi ni kizuri ila jaribuni na kuzungumzia mateso na manyanyaso ya mwanafunzi ni mimi kifimbo nikiwa mbezi high

wazotete said...

Si rahc kwa mtoto wa mkulima kujitegemea hvy kwani ukichangia laki 7 nawe unapewa 1.2m je laki 5 itatosha mwaka mzima kwa kila ki2 si rahc

wazotete said...

High studio naitwa Mgaza Abeid nipo muheza .Ningependa kipindi kiwe cha kingeza.

wazotete said...

High studio naitwa Mgaza Abeid nipo muheza .Ningependa kipindi kiwe cha kingeza.

wazotete said...

Wanafunzi wanao shiriki katika wazo tete,bado kuna shida ya kutojiamini,na hii ni kwasababu hukarilishwa hoja wanazo changia,Yusuph Mathia,Nyamanoro sec mwanza

Anonymous said...

KIPINDI KIZURI MADA NZURI ISIPOKUWA SHULE BADO NAZIONA ZILE ZILE WHY?
JINA:DAREDANNY