

Katika mjadala huu, Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) watashirikiana na waandaaji wa kipindi hiki ambapo shule sita zitapewa wahusika na kutakiwa kuzungumza kwa niaba yao namna wanavyohusika na vita dhidi ya rushwa.
wahusika wetu: Daktari, Mwalimu na Mwanasiasa ambao watakubaliana na mada wakati Mwekezaji, Mfanyabiashara na Mkulima watapinga mada hii.
No comments:
Post a Comment