Thursday, February 19, 2009

Wiki hii katika wazo tete: Pugu High School v/s Cornelius High School

.....

Mambo vipi vijana wenzetu, kama kawaida blog hii inakupa nafasi ya kujua kinachoendelea ndani ya kipindi cha wazo tete na leo tunataka kuitambulisha mada yetu ya wiki hii ambayo itawaleta kilingoni wanafunzi kutoka Pugu sekondari na Cornelius.



Na mada yetu inasema: "Wakati tukielekea uchaguzi mkuu wa madiwani, wabunge na Rais nchini Tanzania, Je imefikia wakati sasa tuwe na Rais mwanamke?"



Kwa upande wa Ballon: Pugu watakawakilisha mhusika "Mwanasiasa" wakati wenzao wa Cornelius watawakilisha mhusika "Mpiga Kura". Ni Jumapili hii katika luninga yako uipendayo ya TBC-1 pekee, ukweli na uhakika.

22 comments:

wazotete said...

ELIMU SI KIGEZO CHA KUONGOZA NCHI

wazotete said...

Damn hao Cornelius wapo juu kinoma big up wazo tete ipo juu..ni charz from dirty south dawg

wazotete said...

Naitwa temba wa mbezi naomba tushirikishwe wanafunzi wa mikoani tulio likiz

wazotete said...

Am tangaboy 4rm dsm, bado hatujafikia kumpa uraisi mwanamke, wanawake bado wako nyuma kisiasa, tusikurupuke jaman,

wazotete said...

Naitwa loveness lyakundi nawapa pongezi kwa kipindi chenu kizuri.

wazotete said...

Tsup studio ma name iz grace 4rom Dzm i would lyk 2 congrant ol participant

wazotete said...

Wazo tete ni kipindi kzr bg up am umm-kurthum f6 znz.

wazotete said...

Hi,milka frm dom sec kipindi kimekuwa na mda mfupi halaf pia na mikoan pia washindanishe pia sio dar2

wazotete said...

Naitwa Princess,pugu hawana point.

wazotete said...

Naitwa Eva Mundeba niko Musoma imefika wakati kwa akina mama kushika madaraka.

wazotete said...

Naitwa subira Ali kutoka Dar.nawapongeza waandaaji wa kipindi hi.ila wamesahau kama watazamaji wamo na watu wenye mahtaji maalum.VIZIWI

wazotete said...

Marekebisho wa ILONGA,Mwanamke bado kabisa kuwa RAIS!

wazotete said...

Grace Njiwe,Tanzania inahitaji raisi mwenye upeo mkubwa, maono mazuri na asiye fisadi..hajilishi jinsia yake.

wazotete said...

NAITWA MILEN DAVIS WA MARSH ACADEMY BRAVO WAANDAAJI WA KIPINDI KINAELIMISHA

wazotete said...

NAITWA MR.TENDEWA.HIKI KIPINDI KINAELIMISHA NA KUWAPA WANAFUNZI UWEZO WA KUJIELEZA

wazotete said...

NAITWA NYANGETA NAWAPONGEZA STUDIO KWA KUANDAA KIPINDI HIKI NAWAPA BIG UP MADENT WOTE WANAOCHANGIA MADA

wazotete said...

Naitwa mwl. Makono wa Nzega. Kwa wanawake kuwa Rais ni sawa na wanajiamini sana, lakini muda wao muafaka ni 2015 na kuendelea.

wazotete said...

KATIBA HAIBAGUI MWANAMKE WALA MWANAUME NA HAWAZUIWI KUGOMBEA TATIZO HAWAJIAMINI.TOKA BAGAMOYO

wazotete said...

Naitwa Ayoub zayumba napatikana Arush maeneo ya sakina nawap pongez kwa waandaaji kipindi hiki pamoja na wabondei wote wa kicheba kwalubuye

wazotete said...

NAITWA JOHN SWALA LA RAIS MWANAMKE NDOTO LABDA AWE MKE WANGU

wazotete said...

Naitwa kelvin toka dar.mwanamke si lolote kwn hata familia hawez kuongoza.

wazotete said...

HABARI ZA JUMAPILI''NI KIJANA NINAYEPENDA KUSHIRIKI KATIKA WAZO TETE NIMEMALIZA KIDATO CHA SITA 20-2-2009,naitwa JOHN