Katika hali isiyo ya kawaida shule ya seminari ya kiislamu ya Ridhwaa, imekacha kushiriki kipindi cha wazotete wiki hii kwa kile walichokiita kulinda maadili ya kiislam kutokana na mada husika kuwa na mapungufu kimantiki.
Wakihojiwa na mtayarishaji wa kipindi hiki kwa njia ya simu, uongozi wa ridhwaa wamesisitiza hoja hiyo ambayo kwa mujibu wa mafundisho na maandiko hasa kitabu kitakatifu cha Quran katika sura ya 17 imeeleza bayana kuwa waislam hawapaswi kuikaribia zinaa. Na kutokana na maandiko hayo hawangekua tayari kuwaachia wanafunzi waende kuzungumzia masuala hayo.
Hata hivyo, walipohojiwa zaidi kuhusu uhusiano wa mjadala na kukaribia tendo hilo, mwalimu mhusika (jina kapuni) aliweka wazi kuwa uwezo wa wanafunzi wake ni mdogo na hawangeweza kuchambua mada hiyo vizuri huku akitolea mfano wanafunzi walioshiriki mjadala wa siasa ya ujamaa kuwa hawakuweza kuichambua ipasavyo na kupotosha maana mzima ya kipindi hicho.
Pamoja na maelezo hayo, sisi kama waandaji wa kipindi hiki tumeamua kuendelea na mjadala wetu na tutawashirikisha wajuzi wa masuala ya imani ili waweze kutupa ufafanuzi wa jambo hilo kwani tunaamani kuwa uongozi wa shule hiyo hawaja watendea haki wanafunzi wao kwani hii ilikuwa nafasi muhimu kwao kutoa maoni yao kuhusu elimu wanayoipata shule hapo....na kujitoa kwao kumeibua hisia tofauti za aina ya vijana tunaowaandaa kwa taifa la baadae.
Mada: Maendeleo ya sayansi na Teknolojia yamechangia kuongozeka kwa vitendo vya ngono zembe miongoni mwa vijana
Shule: St. Mary Secondary school v/s Ridhwaa Islamic seminary
Balloon: St. Mary Secondary School (Vyombo vya Habari) na Ridhwaa Islamic Seminary (Asasi zisizo za kiserikali).
Kwa taarifa zaidi: Usikose kutazama TBC-1 siku ya jumapili saa 10.05 jioni na marudio ijumaa saa 10.05 jioni....
124 comments:
Matumizi mabaya ya sayansi na teknolojia ndio yanasabisha upotevu wa maadili na vijana wengi kufanya ngono zembe. Hassan Simba, wa Mbagala Charambe
Matumizi mabaya ya sayansi na teknolojia ndio yanasabisha upotevu wa maadili na vijana wengi kufanya ngono zembe. Hassan Simba, wa Mbagala Charambe
Matumizi mabaya ya sayansi na teknolojia ndio yanasabisha upotevu wa maadili na vijana wengi kufanya ngono zembe.
Jamani tunawaombeni sana mfike shule za mikowani,hamtutendei haki kabsa. Naitwa Leonard Allen, wa Tabora Isevya.
Munachangia ukimwi kuenea ndio maana hata rais mwinyi alichapwa kofi kwa hutuba zake zakikondom.Mnakera sana!
Naitwa mwl Geofrey kilowoko wa mbeya. Uongozi wa shule ya Ridhiwaa hawaelewi tofauti ya dini na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Tunamshukuru shehe kwa elimu
Ninge penda mshirikishe shulembalimbali naitwa diana wa dom
NEEMA SAYANSI NATEKNLJ INACHANGIA KIASI KIKUBWA SANA .TABORA.
Sayansi na teknology imesaidia sana ngono zembe ni tabia ya mtu mwenyewe (mafanikio yameletwa na sayansi na tekn) mama alliy ngaramtoni arusha
Science na tech imechangia kueneza ukimwi kwani hata utengenezaji wa kondom ni hayo wakati kondom si kinga kamili.MR NICO WA MWANZA
NAITWA ELISHA WA MWANZA MIMI NAWAUNGAMUKONO SENTIMELIZI
KIV WANATISHA INAONYESHA WAMEPKWA VZR NA WLM WAO NA NIWA2 WANAOZNGATIA.ALSON MWANGWALE MBZ MWSHO D'SALAAM
Kipindi kimetulia,nawashauri wanafunzi wakiangalie mi Amina Haidhuru
HIKI KIPINDI NIKIZURI ILA TUNAOMBA MSHIRIKISHE NA SHULE NYINGINF ZA NJE YA DAR. TZ SIO DAR TU
Si kweli kwamba science na tech inachangia kufanya machafu isipokua kwa wale wasiokua na maadili ya dini
mimi naitwa enoth nipo arusha nakubali sayansi na technologia inachangia kuwepo kuwepo kwa ngono zembe
NaitwaLinusMpembanipoS'wangaViongoziwashulewaliozuiawanafunzikushilikinimakosakwanyakatizaUwazinaukwelisivema
NAITWA MNONGORA WA TMK MAJARIDA MENGINE YANACHANGIA NGONO KWANI PICHA NYINGI ZICHAPISHWAZO ZINAPOTOSHA SANA!+<20>
Ngono ni roho. Ni msukumo. Kuishinda inatakiwa Roho nyingine. Ngono ilikuwepo kabla ya teknolojia. Ni swala la mtu binafsi. Teknoloj haihusiki hapo. Mama Ben.
Ibrahim Matiti wa Mbeya.Hao viongoz wa Ridhwaa wakapimwe akili maana hil janga ni la taifa zima bila kujal dini,mila na destuli wala siasa!!
Je nikweli mikoa ya pwani wanapo wa weka mabinti ndani huwafundisha kuishi nawanaumetu ? Ibra nipo Tabata riwith
Napenda kuwapa big up kruu nzima inayo endesha kipindi cha wazo tete.I'm Hezbon Namwel from Mara, musoma.
napenda kuwasahihi uongozi wa hiyo shule je? Hawapendi tushee idea katika kutokomeza magonjwa yanayosababishwa na ngono zembe mimy mkereketwa .ANGEL
SERIKARI AU VYOMBO VYA HABARI VIANGALIE MAMBO YA KUIJENGA JAMII SIO KILA JAMBO LINAFAA KWA JAMII. NI GIBSON JACK KUTOKA UYOLE/MBEYA. AHSANTE.
Nimesikitika na hao walimu waliozuia wanafunzi wao,kama mzazi nilitarajia walimu ni wazazi wa pili kufundisha watoto,hongera kivule kushiri.Dorkas Nkembo Moshi
Naitwa MACKA MARWA wa Nyamongo(TARIME) napenda kuwapongeza sana kwa kuleta mada hii ya sayansi na teknolojia kwani inahusu sana vijana wa kizazi hiki.
Sayanc na technology ndio chanzo cha ngono uzembe. Kwa njia za Tv mfano picha za X kwenye magazeti yanayo husika na mapenzi. Kwa jina Zaina Kagunia kutoka Moshi
Naitwa saidi au kurwa kutoka singida samaki ameshajikunja na ame kauka nusu nusu mbichi sayansi / tekinolojia imekolea utama/ dini imezidiwa imebaki imani tu.!
Mimi Carlos wa Migo*2 napinga kuwa syns na tknlga huchangia kuenea kwa ngono zembe,mbona kuna baadhi ya makabila hutumia mila zao kufunda wali mf. Mafiga 3.Why?
Ukafili ni ukafili tu juwa uasharati utawaangamizeni hata mjadili vipi na ukimwi hauuwi kama malelia yusufu nipo tabora
NAITWA CHANDE NASORO NIPO DAR MIMI BINAFSI NAKUBALI KWAMBA KUKUA KWA SC NA TK CHANZO CHA NGONO ZEMBE.
David lackson airport dsm,science & technology inachangia somehow cuz most of us ni wa2 wakukopi vi2 bila kujua athari zake.
Vjana wa cku hzi 2ona kuw kufanya ngno ni fashion.hatuzingatii athali tutakazopta baadae.Naitwa Sheky naishi Tanga.
NAITWA HADIJA MUDY NASOMA GREENBIRD GIRLS NAPENDA KUCHANGIA KWAMBA SAYANC NA TECKNOLOJIA INAJENGA HAIBOMOI HASA KUPATA HABARI MBALIMBALI NA MAFNZO NDANI MAIGIZO
SALUMU.SAIDI.NATOKA..KIGAMBONI..NASEMA.SAYASI,.INAONGEZA..NGONO. UZEMBE
hiyo sayansi inachangia ngono zembe tamaduni zipo toka zamani mbona ngono zembe azikuwepo sayansi natekerenojia imezidisha naitwa mama raya wayombo
Wazoragu wasichana wanababisha gonozebe mimi ni martin
SCIENCE AND TECHNOGY NI SHETANI,SI NGONO ZEMBE AU NGONO SALAMA VYOTE NI SHETANI KWANI KUJIKINGA NA HAYO MNAYOJADILI NI KUMRUDIA MUNGU.SHADRACK MWENDA, MTONI.
mimi naitwa enoth nipo arusha nakubali sayansi na technologia inachangia kuwepo kuwepo kwa ngono zembe
Binafsi siungi mkono hoja,sababu kuna vijiji vingi havina maendeleo na watu hawajui mitindo wala televishen.Ngono zembe ipo.BWENJE wa ARUSHA.
NAITWA ATHUMAN ISSA NKWAMA NIPO IRINGA MAADA YA KWANZA NIMEIPENDA ILA NINGEPENDA KUWASHAURI WANAFUNZI NA VIJANA WENZANGU WAWEZE KUSHILIKI KTK VIPINDI HIVI
Naitwa Aristides wa Manyara sayansi na Teknolojia kuenea gonjwa la ukimwi kwa kuangalia kwenye utandawazi .(Internet)
Kiukwel sc&tech inachangia vijana kujikita ktk vitendo vya ngono zembe,ezi hukuti ki jana kajingiza ktk uchafu,vijana weng wana penda kujing iza tendo kimolo
Sayansi na Teknolojia inachangia sana ngono uzembe.Mi Mwl. ANTON RWIZA kutoka mafumbo Kashai BUKOBA.
Sayansi na Teknolojia inachangia sana ngono zembe.Mimi Musa Bau nipo Mtwara.
Ellen wa mwanza naunga mkono point ya Ellen wa st.Mary.
Naitwa mwl Geofrey kilowoko wa mbeya. Uongozi wa shule ya Ridhiwaa hawaelewi tofauti ya dini na maendeleo ya sayansi na teknolojia. Tunamshukuru shehe kwa elimu
NAITWA GRACE KANYANKOLE KUTOKA KARAGWE.MI NASEMA KUWA MAENDELEO YA SCIENCE NA TEKNOLOJIA IMESAIDIA KUPUNGUZA NGONO ZEMBE. p
Naitwa Haule Kuzombe, Wanafunz ambo hawajafika wamekosea vby, je mada hii ikitolewa kwenye mtihani wa taifa, hawatalijadili?bado hawajaelimika.
Naitwa victor ktk tabata Dsm,nakubaliana na mada kukua kwa sayansi na teknolojia kumesababisha vitendo vya ngono kuendelea kwa kasi.
Mimi shafii kutoka Arusha wazo langu ninaona sayans inachangia ngono zembe
NAITWA IBRAHIM NJOGOPA KUHUSU KUJITOA KWA HIYO SHULE MIMI NAONA SAWA LABDA MCHEPUO WA SHULE YAO AIRUHUSU.
Naitwa Ali Nassor Ali ni mwanafunzi UDSM.Wanafunzi wa Ridhwaa kukataa kushiriki ni sawa kwani ngono ni ngono tu na hakuna ngono bila ndoa halali kidini.
Mimi thabit nakubaliana na mtandao na mada ya ngono zembe lakini kuna nazaria na vitendo ss tuonesheni kwa vitendo ngono zembe mada hiyo inashinda hataunyago
Naitwa afande mfuko wa singida sayansi na teknorojia haishawishi ngono zembe ila tunaitumiavibaya
Naitwa soudy wa NUR ISLAMIC SEMINARY maendeleo ya sayansi na teknolojia ni kweli yanachangia ngono zembe ,kutokataa kwa RIDHIWAA kushiliki sijajisikia vizuri
Asalam aley kum.kwa kuwa Ridhiwaa ni shule ya kiislamu nilitegemea wataonyesha upinzani mzuri hawakufanya jmbo zuri.Naitwa yahaya juma wa Arusha.
Technology hasa media,yanachangia ngöno zembe.lakini pia jamii lezi imekuwa dhaifu ktk kuwajengea vijana utashi dhabiti na dhamira hai.
naitwa rajabu naomba huyo ustadhi atuweke wazi kuhusu sayansi na dini yetu ya kiislamu inasema nini kuhusu swala hilo
Prof. Verdiana Masanja Rwanda. Unyago na jando anbazo ni mila zetu huchochea ufska kuliko S&T. Mikusanyiko ya kuchezwa ngoma ufuska balaa.
Kweli sayansi na teknolojia imesababisha ngono coz vyombo vya habari vinaelekeza ngono kwa vijana wanasema wa2mie kondom!naitwa suzy turu.mbeya.
Ridwaa islamic wapo sahihi. Uislamu unafundisha kuwa makini kwenye maongezi. Hapo mnahamasisha hamfundishi na ndio maana maneno mnay
Sayansi na tech nolg inasababisha Ngono zembe kwa sbb watoto hutazama picha za ngono.Mimi HASAN MTOLA WA MBAGALA
Mie naitwa Mama Amina niko ilala walichofanya lidhuwaa siyo kizuri wajirekebishe.
Kivule ni wazuri sana tu ila majaji msibweteke na jina la St Marys. Jonas kutoka St john's of Tanzania Dodoma
A.alykum msiizinishe ngono kwa majina ya kificho zembe sayansi na teknolojia vina msaada kwa maendeleo ya binadamu wala hausiani na ngono khalef sumbawanga
naitwa rajabu naomba huyo ustadhi atuweke wazi kuhusu sayansi na dini yetu ya kiislamu inasema nini kuhusu swala hilo
Mimi ATONY RWIZA toka Bukoba mafumbo Kashai.N ikweli utandawazi unachangia ngono uzembe.
Hi...! Sir. RHINO WA SBA, MAENDELEO YA SAYANSI NATEKNOLOJIA YANACHANGIA KWA KIAC KIKUBWA UKIZINGATIA KUMBIZA STAREHE WAKISHIKANASHIKANA WANANOGEWA........!
Ridwaa si woga kama munavyofikiria bali wanamuhofia mola wao.amina ahmed wa m.yanga tandika
MUWAALIKE NA BRAGHT ANGEL ILIYOKO MKULANGA,ONGELENI KWA KIPINDI KIZURI BY BALOLE.
SAYANSI NA TEKENOLOGIA IMECHANGIA SANA HOW SURE I,U THAT CONDOM IS 100%.BOMERA FRM ARUSHA
NAITWA ELINA WA KIGAMBONI MIMI NAONA KUJIHUSISHA KATIKA NGONO ZEMBE NI AKILI YA MTU MWENYEWE,NI HAYO TU
SALUM MSANGULE WA KILOSA SAYANSI NA TEKNOLOJIA AICHANGII NGONO ZEMBE
Naitwa Ernest nipo Kiwira MBY,Ukweli hakuna baya ilasi busara kuwalaum wanafunzi kwani wao pia wanawamiliki wao(ADMINSTRATION)Ubaya haupo zaidi yakutiadoa Uislm
Naitwa mariam yakub wa meli 4 zenji kwa muisla akuna ngono zembe wa salama subiri ndoa
naitwa ali hamad wa tandika dsm nachangia mada kwamba sayans na teknologia inachangia ngono zembe kwa vijana
Kila kitu kina faida na hasara,na kwasasa tunaangalia kitu cha faida,hatuwezi kufanya kitua chenye maana cha jamii ijiangalie yenyewe by BINJUMAA & ZENA TABORA
Napenda kuchangia hoja. Sayansi na teknoloji yamepunguza kwa asilimia kubwa ngono zembe. Na hy ni tabia ya mtu. Anna wa mbinga
Naitwa grace kutoka dom.msisingizie sayansi na teknolojia zembe ngono ni tabia ya mtu
P.mbiro
Naitwa Isaac Marwa wa KEMORAMBA SECONDARI Musoma,maendele ya sayansi na technic yanachangia,vi2kama picha zaX zinachangia kuwepo kwa ngono zembe.
Naitwa maua wa sumbawanga sayansi na teknolojia yanachangia kuepusha ngono zembe maana vitu vyote viko wazi
Naitwa OSCAR NZIKU niko Mbeya kwakweli shule iliyo jitoa jalibuni kuuelimisha utawala wa shule hiyo kwani mada ya leo ni yakuelimishana vijana.
Naitwa akongwa venance nipo Manow High school Tukuyu nawapa big up waandaaji wote wakipindi hiki maoni yangu m2tembelee nasisi wa mbeya 2weze kutoa mawazo ye2.
Enz 2lizopo sasa ni enz za saut nying, nienz za kelele hivyo bac vijana wanapaswa kupambanua saut hz nakufwata inayofaa @ DG
Hiyo shule imekosea kuwakataza wanafunzi kuja kushiri ingekataza wanafunzi wote waislam wasishiriki sababu mbona wanafunzi ambao wako st mary's wameshiriki.
Zaman hakuwepo sasa yapo kilajambo nawakati hundiyo wakat wake
Ridhiwaa wangekuja tu,watoe dukuduku lao from moshi.
Ridhiwaa hawana kosa ndio wanao nesha msisitizo( sayansi na teknolojia inachangia ngono zembe kwa vijana. Mama salahi znz .
mimi maoni yangu ni hiyo shule ni ya dini siyo ya kawaida je hawafundishwi,kujikinga,ukimwi?inasikitisha,sana.Ramagudy SGD.
NAITWA JOHN MAKUNGA WA MBEYA NGONO ZEMBE HASA NA POMBE ZINA CHANGIA SANA WALA SIO SAYANSI NA TECKELONIJIO
SAYANSI NA TEKNOROJIA INACHANGIA SANA NGONO, KWASABABU MAMBO MENGI 2 IKIWEMO INTANET NA CM ZIMERAHISISHA KABISA NAITWA MNONGORA WA TMK.!+<20>
NICK NYOVE WA IRINGA KWA UJUMLA WALIMU WAMEKOSEA SANA KWANI WAMEWANYIMA HAKI ZAO ZA MSINGI
Sayansi na Technolojia imeharibu jamii. Na malezi mabaya ya Famili zinajidai za kizungu.
Naitwa Bonita pascali.Napinga kabisa hiyo mada kuna msemo unasema Abilia chunga mzigo wako.Bila sayansi naTeknolg tungefika wapi?
NAITWA MTEMI KANGALOO MIMI NAONA TATIZO KUBWA LINALO CHANGI NGONO UZEMBE NI ULEVI NA MAVAZI YA AKINA DADA
S/technology haichangii ngono zembe,condom zimetoka wapi?,kwani enzi za kale hapakua na ngono zembe?,hakuna kusingizia technlgy.lweganwa john SAUT MZA
Naitwa Astilda mugolozi wa kilombero mim4 napenda kusema kwamba sayansi na technolojia imesaidia kupunguza ngono zembe.
NYIE..HAMWOGOPI..?.KAMA..MWINYI..ALIPIGWA.,KIBAO.JE.NINYI.HAMTACHINJWA?.KABISA.NA.WAJAHIDINA.KWA.HOJA.HIYO.YA.NGONO.UZEMBE,
Miye Obeline Moshi Mbulu.KUKUA kwa sayansi na teknolojia haichochei ngono zembe bali watu wenyewe kukosa maadili. MADA HIYO INAELISHA JAMII
MAENDELEO YA SYS NA TKNJ HAYA SABABISH ILANI KUIGA TAMADUNI ZAKGENI NDIO CHACHU YANGONO ZEMBE,VENANC GASPAR IPL TABORA
Naitwa Hafsa wa Martin Luther,Dodoma. Maendeleo ya sayansi yanachangia uwepo wa ngono zembe kutokana na mabadiliko ya tamaduni.
Naitwa mwl Dulla nipo mpanda sayansi na teknolojia haichangii ngono zembe bali ni tabia ya mtu
Naitwa Israel mwakilasa wa kilombero-Ruaha.sayns na teknj inasaidia kupungunza kuendelea na ngono zembe kwani tunaona jinsi watu wanavyopoteza maisha.
HAYO MAENDELEO YENU YA SAYANSI NDIO YAMECHANGIA BALA KUBWA LA NGONO ZEMBE KUPITIA SAYANSI MI NASEMA SAYANSI IMECHANGIA MI HAWA DAR.
Ridhiwaa wangekuja tu,watoe dukuduku lao from moshi.
Acheni kulaum shule iliyogoma kushiriki.Wamefuata sheria hasa.Dini ya Kiislam haiendeshwi na mawazo ya watu.NI SHERIA YA MUNGU,na ni lazi kuifuata.By Mhd Kombo.
Naitwa khadija sudi wa nyarugusu zanzibar,kweli sayansi na teklonojia inachangia sisi vijana kuharibika na kufanya ngono.
Sayansi na Technolojia imeharibu jamii. Na malezi mabaya ya Famili zinajidai za kizungu.
Naitwa Tausi wa tabata sayansi na teknolojia havichangii vijana kufanya ngono zembe,kwan ngono zembe ni tamaa ya mtu mwenyewe.
naitwa wanda wa boko napenda kuwapongeza kwa kipindi kizuri pamoja na mada nzuri,
Maendeleo ya Science/tech.yanachangia ngono uzembe bcoz through tv etc vijana wanashawishika.Mwl MATUGA wa Itule S.S.
Sisi vijana tunapenda sana ngono zembe tumepotea mm almasi arusha unga limitedi.
Maendeleo ya sayansi na tekn yanapunguza ngono zembe kwa sababu elimu inatolewa kwa njia mbali mbali hata katika madhehebu naitwa neema josephat Ngudu
HOLLOW NAITWA SUBIRA WA DODOMA NA FAGILIA SANA KIPINDI CHA WAZO TETE KIZURI SANA KINA ELIMISHA TBC WAAAA BIG UP
USIPO WAELIMISHA VIJANA NA KUWAPA MAADILI UTA WAELIMISHA WAZEE? HIVYO NA ULAUMU UONGOZI WA SHULE HIYO. NI REHEMA R. KUTOKA KARATU.
Ni kweli sayans imeleta mafanikio lkn kwa kiasi kikubwa imevuruga mfumo we2 wa maisha kwa ujumla, sababu tunaiga sn, ngono live ktk tv! eddy khalef.
MAENDELEO YA SAYANSI NA TECHNOLOGIA YANACHANGIA KUONGEZEKA KWA NGONO UZEMBE KUTOKANA MEDIA TOFAUTI KAMA TV NA HATA KATIKA ENTERNANT PAMOJA NA SIM.DONATA
Ridhiwa wako right ,kwenye uislam hakuna ngono zembe , ngono ni ngono tu.maadili ya uislam hayaruhusu muislam kutetea ngono ya aina yeyote. Ramadhan from ZNZ.
Jamani malezi ya wazazi wetu ndo yanachangia we mtoto atatoa wapi hela ya kununua vitu vya anasa? John Musiba wa Nansio ukerewe
Kijana mwenyewe ndio chanzo cha ngono zembe sio sayansi na teknolojia,kwani yeye ndiyo anaamua aweje.JUDITH
BUMI wa arusha ni kwel maendleo ya sayans na teknolojia yanasababishia kuwepo kwa ngono zembe.
Mim ni koku nimefuraia sana maada ya leo nawapa big up waandaaji.
HONGERA TBC 1 KWA KUTUELIMISHA KUPITIA VIPINDI VYENU KAMA WAZO TETE NI MIMI MAGORI WAMBURA from MUSOMA
Hey Hey, I am new to these parts. suppose make an introduction.
see you around and Thankyou
(sorry if this is the wrong place to put this post)
Post a Comment